MAKAMU WA RAIS AITAKA WIZARA YA AFYA KUACHA KULIMBIKIZA MADENI
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameutaka uongozi wa wizara ya afya kuacha tabia ya Kulimbikiza madeni kwa wasambazaji wa dawa ili kuondosha usumbufu wa upatikanaji wa dawa hali inayopelekea malalamiko kutoka kwa wananchi . Mhe. Hemed ameeleza hayo wakati alipofanya ziara ya kuangalia hali ya uingizwaji na usambazwaji wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed